Kindly be informed that application of admission for academic year 2023/2024 has been closed. All selected applicants shall report to the selected institutions for registration and commencement of studies.
Tunapenda kukutaarifu kwamba maombi ya udahili kwa mwaka wa masomo 2023/2024 umefungwa rasmi. Waombaji waliochaguliwa wanahimizwa kuwasili kwenye vyuo walivyochaguliwa na kusajiliwa ili kuanza masomo kama ilivyopangwa.