Kindly be informed that we have reached the end of Admission Cycle for 2023/2024 All selected applicants shall report to the respected selected institution for registration and commence studies as planned.
Tunapenda kukutaarifu kwamba udahili kwa mwaka wa masomo 2023/2024 umefungwa rasmi. Waombaji waliochaguliwa wanahimizwa kuwasili kwenye vyuo walivyochaguliwa na kusajiliwa ili kuanza masomo kama ilivyopangwa.